Mwekezaji etelekeza kiwanda
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekiri na kusema kwamba muwekezaji aliyepewa kiwanda cha sukari kiliopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja amekitelekeza kwa kushindwa kuzalisha sukari kama ilivyokusudiwa.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekiri na kusema kwamba muwekezaji aliyepewa kiwanda cha sukari kiliopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja amekitelekeza kwa kushindwa kuzalisha sukari kama ilivyokusudiwa.