Dk Shein asisitizia uchumi
UONGOZI wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko umetoa pongezi kwa Viongozi Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuchukua hatua mbali mbali za kuthibiti na kuendeleza zao la karafuu.
UONGOZI wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko umetoa pongezi kwa Viongozi Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuchukua hatua mbali mbali za kuthibiti na kuendeleza zao la karafuu.